Yanga imetangaza rasmi viingilio vya Tamasha lake la Wiki ya Wananchi ambalo hufanyika kila mwaka ambapo mwaka huu litafanyika July 22 katika uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam na kukipiga na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini.
VVIP: Tsh 500,000/=
VIP A: Tsh 100,000/=
VIP B: Tsh 40,000/=
VIP C 1: Tsh 30,000/=
VIP C: 20,000/=
Mzunguuko: Tsh 10,000/=.

Hakuna maoni: