WATUMISHI OTR WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA USIMAMIZI WA UBORA Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imeendelea na hatua za kuimarisha mifumo yake ya utendaji kwa kuwaje... Almasi Media - Septemba 04, 2026
"SHERIA YA VIPIMO NI RAFIKI WA WOTE, MUUZAJI NA MNUNUZI" Na WMA - MWANZA Wakala wa Vipimo (WMA) umesisitiza kuwa ni rafiki wa muuzaji na mnunuzi na kwamba sheria ya vipimo haikuundwa kuwakomoa wafa... Almasi Media - Septemba 04, 2026
WAZIRI MAVUNDE AONGOZA KIKAO CHA UTATUZI MGOGORO WA HAKI MADINI NA HAKI ARDHI Dodoma Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde, akiongoza kikao cha utatuzi wa mgogoro wa haki madini na haki ardhi baina ya Kampuni ya Barric... Almasi Media - Septemba 04, 2026
MRADI WA UMEME MPOMVU – GGM KUIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME NA KUCHOCHEA SHUGHULI ZA KIUCHUMI GEITA – MHE. SALOME DODOMA. Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inaendelea kuimarisha miundombinu ya umeme nchini kupitia utekelezaji wa mradi ... Almasi Media - Septemba 04, 2026
WMA MSHINDI WA KWANZA MAONESHO YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI Na WMA - MWANZA Wakala wa Vipimo (WMA) umetwaa Kombe la ushindi wa kwanza katika Maonesho ya 21 ya Biashara ya Afrika Mashariki, baada ya k... Almasi Media - Septemba 04, 2026
HANSPAUL GROUP YAJINYAKULIA TUZO NNE ZA PMAYA2026 DAR ES SALAAM. Kampuni ya Hanspaul Group imeibuka na ushindi wa tuzo nne katika usiku wa Tuzo za Rais za Wazalishaji Bora wa Mwaka (PMAYA),... Almasi Media - Septemba 03, 2026
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAPATIWA MAFUNZO KUHUSU MIKATABA YA MSAADA WA KIUFUNDI KATIKA SEKTA YA MADINI DODOMA, Septemba 3, 2026 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhe. Subira Mgalu (Mb.) imepatiwa maf... Almasi Media - Septemba 03, 2026
NISHATI YA JUA YAZIDI KUIMARISHA GRIDI YA TAIFA Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali inaendelea kuongeza matumizi ya nishati jadidifu, hususan nishati ya jua, kat... Almasi Media - Septemba 03, 2026
TANZANIA YAWAALIKA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA SEKTA YA MADINI 📍 Perth, Australia. Tanzania imeendelea na mkakati wa kuwaalika wawekezaji wa kimataifa kutumia fursa zilizopo katika Sekta ya Madini nchin... Almasi Media - Septemba 03, 2026