WANAHABARI NI WASHIRIKA MUHIMU WA KUHAMASISHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA Naibu Waziri wa Nishati amesema vyombo vya habari na maafisa mawasiliano Serikalini ni washirika muhimu wa maendeleo ya Taifa kutokana na na... Almasi Media - Julai 15, 2026
SERIKALI YAANZA UJENZI WA MAABARA YA KISASA YA UPIMAJI SAMPULI ZA MADINI Dodoma Kufuatia utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa maabara ya kisasa ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), hatua hiyo i... Almasi Media - Julai 15, 2026
WIZARA YA AFYA YAENDELEA KUWAJENGA UWEZO WAKUFUNZI WAKE KUELEKEA DIRA YA TAIFA 2050 Na Atley Kuni, WAF – Dodoma Wizara ya Afya imeendelea kuwekeza uimarishaji wa rasilimali watu kwa kuwajengea uwezo wakufunzi wa vyuo vya kat... Almasi Media - Julai 15, 2026
LINDI KUENEZA ELIMU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KWA WOTE Lindi. Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi, Bi. Zuwena Omary, amesema Mkoa wa Lindi umeanza kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ikiwa... Almasi Media - Julai 15, 2026
NAIBU WAZIRI SALOME AWASILI MOROGORO KUFUNGUA WARSHA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Mussa Kilakala, akiwasili katika Ukumbi w... Almasi Media - Julai 15, 2026
MKURUGENZI MKUU REA APOKEA TUZO YA USHINDI WA REA SABASABA 2026 Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mha. Hassan Saidy, leo Julai 14, 2026, amepokea tuzo ya Muoneshaji Bora wa Taasisi za S... Almasi Media - Julai 15, 2026
WATAALAMU WAKUTANA KUJADILI KUIMARISHA MIFUMO YA TAHADHARI ZA MAPEMA NA HUDUMA ZA HALI YA HEWA UKANDA WA MASHARIKI NA KUSINI MWA AFRIKA ARUSHA, Tanzania, 13 Julai 2026: Mkutano wa kikanda unaolenga kuimarisha mifumo ya tahadhari za mapema na huduma za hali ya hewa kwa Afrika ... Almasi Media - Julai 14, 2026
SAMIA ATOA TSH TRILIONI 6.23, KUIZINDUA SGR TABORA–KIGOMA JULAI 20 SAMIA ATOA TSH TRILIONI 6.23 KUKAMILISHA SGR TABORA–KIGOMA, BABA LEVO ASEMA NI MWANZO WA FURSA Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam. Mbunge wa... Almasi Media - Julai 14, 2026