MAKUSANYO MADINI YAVUKA LENGO, YAKUSANYA TRILIONI 1.27 Na Mwandishi Wetu, Dodoma WIZARA ya Madini imevuka lengo la ukusanyaji wa Maduhuli ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026 baada ya kukusa... Almasi Media - Juni 05, 2026
SAMIA AHITIMISHA ZIARA YAKE KWA KUNADI TANZANIA JUKWAA LA BIASHARA ST. PETERSBURG Na Beda Msimbe, TBN, St. Petersburg Rais Samia Suluhu Hassan leo anahitimisha ziara yake nchini Urusi kwa kushiriki Kongamano la Kibiashara ... Almasi Media - Juni 05, 2026
SERIKALI YAZINDUA KITUO CHA OPERESHENI NA MAWASILIANO YA DHARURA MWANZA Na, mwandishi wetu, Mwanza. SERIKALI imezindua rasmi Kituo cha Operesheni na Mawasiliano ya Dharura cha Mkoa wa Mwanza, hatua inayolenga kui... Almasi Media - Juni 05, 2026
TANZANIA NA URUSI KUSHIRIKIANA KATIKA KUENDELEZA UTAFITI WA MADINI Moscow, Urusi 🇷🇺 Akishiriki ziara rasmi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Urusi, leo tarehe 05 Juni, 2026 Jijini Moscow, ... Almasi Media - Juni 05, 2026
RAIS SAMIA ATUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA URUSI Moscow. CHUO Kikuu mashuhuri nchini Urusi leo kimemtunukia shahada ya heshima ya Uzamivu (honoris causa) Rais Samia Suluhu Hassan kutokana... Almasi Media - Juni 04, 2026
DCEA, VETA KUTOA MAFUNZO KWA WARAIBU WALIOPATA NAFUU DAR ES SALAAM. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) zimesaini ... Almasi Media - Juni 04, 2026
MRADI WA MTO MKUJU-RUVUMA KUCHANGIA ASILIMIA 4 YA URANI DUNIANI Namtumbo, Ruvuma Mradi wa Urani wa Mto Mkuju uliopo Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma unatarajiwa kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa wazal... Almasi Media - Juni 04, 2026
MWANZA KINARA KATIKA USIMAMIZI WA MAAFA Na, mwandishi wetu, Mwanza. Mkoa wa Mwanza umetajwa kuwa Kinara kwa kuratibu na kusimamia ipasavyo shughuli za kukabiliana na maafa, majanga... Almasi Media - Juni 04, 2026