MAAFISA NA ASKARI 53 WA TFS WAPANDISHWA VYEO, WAASWA KUWA NGUZO YA UADILIFU NA NIDHAMU WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeongeza kasi ya kuimarisha nidhamu na uwajibikaji ndani ya Jeshi la Uhifadhi, baada ya maafisa n... Almasi Media - Aprili 03, 2026
BIASHARA MTANDAONI ZATAJWA KULETA CHANGAMOTO MPYA KWA WALAJI Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali imesema ukuaji wa biashara mtandaoni unaendelea kuibua changamoto mpya kwa walaji, hali inayohi... Almasi Media - Aprili 02, 2026
REA YANADI MAFANIKIO YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA KUSAMBAZA NISHATI VIJIJINI Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeshiriki katika mahojiano maalum kujadili mafanikio na hatua za ujenzi wa Miradi ya Kusambaza Nishati mae... Almasi Media - Aprili 02, 2026
SERIKALI YAONGEZA NGUVU MAPAMBANO DHIDI YA WANYAMAPORI WAKALI NA WAHARIBIFU Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu kijaji akiwa bungeni akimsikilizaWaziri Mkuu Na Sixmund Begashe, Dodoma. Serikali inaendelea kuch... Almasi Media - Aprili 02, 2026
BODI MPYA TFS YAANZA KAZI RASMI, YAPOKEA MPANGO WA BIASHARA 2026/2027 Morogoro Bodi ya Tano ya Ushauri ya Wizara kwa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imeanza rasmi majukumu yake kwa kufanya kikao cha 4... Almasi Media - Aprili 02, 2026
WIZARA YA NISHATI KUWA MFANO WA MATUMIZI BORA YA NISHATI KATIKA MJI WA SERIKALI MTUMBA DODOMA. Wizara ya Nishati kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) inatarajia kutekeleza Mradi wa Matumizi Bora y... Almasi Media - Aprili 02, 2026
BORA KUZUI UHALIFU KABLA HAUJATOKEA KULIKO KUPAMBANa NA UHALIFU Kamishna wa Polisi Jamii CP Alex Sospeter Mkama amewaasa wenyeviti wa serikali za mitaa kuwapa ushirikiano Polisi kata ili kutengeneza muung... Almasi Media - Aprili 01, 2026
SPIKA AAGIZA WAZIRI NA KAMATI YA BUNGE KUJADILI MWENENDO WA MAFUTA NCHINI DODOMA Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Zungu, amemuagiza Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, kukutana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ni... Almasi Media - Aprili 01, 2026