MSAJILI WA HAZINA ATETA NA UONGOZI WA KAMPUNI YA BARRICK Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amekutana na kufanya mazungumzo na wawakilishi wa Barrick Corpor... Almasi Media - Septemba 01, 2026
MSIGWA: WANANCHI WACHUKUE VITAMBULISHO VYA NIDA KUKAMILISHA SAFARI YA UTAMBULISHO Dar es Salaam. Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, ametangaza kuanza rasmi kwa Kampeni ya Kitaifa ya “Septemba ya Utambulisho”, huku ak... Almasi Media - Septemba 01, 2026
KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2026 AMPONGEZA MENEJA TARURA MULEBA KWA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI Muleba, Kagera. Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026, Ndugu. Wazo Mwang’onda amempongeza Meneja wa Wakala ya Barabara za Vijij... Almasi Media - Septemba 01, 2026
BOT YAWAELIMISHA WASANII NA WASHEREHESHAJI NA KUWASIHI KUTUNZA FEDHA BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewasihi wasanii na washereheshaji nchini kutumia ushawishi wao kwa jamii kuhamasisha wananchi kutunza na kutum... Almasi Media - Septemba 01, 2026
WAZIRI MAVUNDE AZINDUA PROGRAMU YA KESHO ILIYO NJEMA KATIKA SEKTA YA MADINI (MBT) 📍Nyamongo, Mara. Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amezindua rasmi Programu ya Mining for a Brighter Tomorrow (MBT), maarufu kama “Ke... Almasi Media - Agosti 31, 2026
WMA: KILO NA LITA YA TANZANIA NI KILO NA LITA YA DUNIA Na WMA - MWANZA Meneja wa Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Geita, Bi. Eva Ikula amesema usimamizi wa matumizi sahihi ya vipimo unaofanywa na W... Almasi Media - Agosti 31, 2026
DUNIA IMEANZA KUONA KILE TAWA ILICHOKABIDHIWA KUKILINDA ✍️ Na Beatus Maganja Miaka 10 iliyopita Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania - TAWA ilianza safari ikiwa imekabidhiwa jukumu kubwa l... Almasi Media - Agosti 31, 2026
MFUMO WA GESI ASILIA NI KICHOCHEO CHA UKUAJI UCHUMI NCHINI:- MHADHIRI DIT Na Francisco Peter Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) imeeleza kuwa uelewa wa watanzania kufungiwa mfumo wa matumizi ya gesi a... Almasi Media - Agosti 31, 2026
ELIMU YA VIPIMO YAWAVUTA WENGI KWENYE MAONESHO YA BIASHARA YA AFRIKA MASHARIKI Na WMA - Mwanza Banda la Wakala wa Vipimo (WMA) limeendelea kuvutia makundi mbalimbali ya wananchi katika Maonesho ya Biashara ya Afrika M... Almasi Media - Agosti 30, 2026