IZO MOTORS YAZINDUA BETRI ZENYE UBORA WA JUU TANZANIA DAR ES SALAAM. Kampuni ya IZO Motors Company Limited imezindua rasmi biashara ya betri za magari zinazojulikana kwa jina la IZO Battery, hu... Almasi Media - Mei 12, 2026
SERIKALI YA PONGEZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA EACOP Na Mwandishi wetu, Tanga. Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Nishati, imeeleza kuridhishwa na hatua kubwa ya maendeleo zilizofikiwa kat... Almasi Media - Mei 12, 2026
MENEJIMENTI YA WIZARA YA NISHATI YATEMBELEA MRADI WA EACOP TANGA, WAFIKIA 85% YA UTEKELEZAJI Menejimenti ya Wizara ya Nishati imetembelea mradi wa kimkakati wa kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoa... Almasi Media - Mei 11, 2026
DKT. MWIGULU AWASILI NCHINI KENYA KUMWAKILISHA DKT SAMIA KATIKA MKUTAMO WA USHIRIKIANO AFRIKA NA UFARANSA WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Mei 10, 2026 amewasili Nairobi, Kenya ambako anatarajia kumuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa ... Almasi Media - Mei 10, 2026
MVUA DAR: TARURA YATOA MAELEKEZO KWA MAKANDARASI Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Dar es Salaam umesema kuwa licha ya mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbal... Almasi Media - Mei 10, 2026
RAIS DKT. MWINYI AIPONGEZA TANZANITE QUEENS U-20 KWA KUFUZU KOMBE LA DUNIA ZANZIBAR. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameipongeza Timu ya Taifa ya Wasichana chini... Almasi Media - Mei 10, 2026
WAZIRI NDEJEMBI ATOA MAELEKEZO MAZITO UTEKELEZAJI WA MRADI MALAGARASI MW 49.5 KIGOMA Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amesema hajaridhishwa na mwenendo wa mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Megawat... Almasi Media - Mei 10, 2026
KAMATI YA NISHATI YAIPONGEZA ORYX KWA UWEKEZAJI WENYE TIJA KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Serikali kwa kuendelea kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji nchini huku ikiutaj... Almasi Media - Mei 09, 2026
WAZIRI NDEJEMBI AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA KUSAFIRISHA UMEME BENACO–KYAKA KAGERA. Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Deogratius Ndejembi, ameweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa mso... Almasi Media - Mei 09, 2026