JOWUTA KUPOKEA UGENI WA WAANDISHI WA HABARI OMAN Na Mwandishi Wetu. CHAMA cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA) kesho kinatarajia kupokea ugeni kutoka Chama cha Waandishi w... Almasi Media - Agosti 18, 2026
TANZANIA, RWANDA ZAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA MAFUTA Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Biashara na Viwanda wa Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Ant... Almasi Media - Agosti 17, 2026
DCEA YATEKETEZA EKARI 603 ZA MASHAMBA YA BANGI, YAKAMATA MAGUNIA 49 MVOMERO MOROGORO Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza ekari 603 za mashamba ya bangi na kukamata magunia 49 ya ba... Almasi Media - Agosti 17, 2026
JAJI MSHIBE ASISITIZA MAANDALIZI YA KISEKTA KATIKA KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL NIÑO Dodoma, 14 Agosti 2026: Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Mheshimiwa Jaji Mshibe Ali Bakari, amezitaka sekta zo... Almasi Media - Agosti 16, 2026
SEKTA YA MADINI YAVUTIA UWEKEZAJI WA TRILIONI 9 NDANI YA MIAKA MINNE MOROGORO Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amesema ndani ya kipindi cha Miaka Minne, (4) Sekta ya Madini imevutia uwekezaji wa Shil... Almasi Media - Agosti 15, 2026
DKT.SAMIA SULUHU HASSAN KUZINDUA RASMI MRADI WA JNHPP AGOSTI 22 DAR ES SALAAM. Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan a... Almasi Media - Agosti 15, 2026
MJI WA SERIKALI MTUMBA WAIPA TANZANIA FURSA YA KUIMARISHA DIPLOMASIA Balozi wa Serbia nchini, Mhe. Jovica Topalović, amesema, maendeleo ya Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma, yanaipa Tanzania fursa ya kuimar... Almasi Media - Agosti 15, 2026
SERIKALI YAWEKA MKAKATI WA KUPUNGUZA MUDA WA MELI ZA MAFUTA BANDARINI DAR ES SALAAM. Serikali imeweka mkakati wa kupunguza muda ambao meli za mafuta hutumia bandarini, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuongeza ufan... Almasi Media - Agosti 14, 2026