DAS KIGAMBONI AZINDUA OFISI YA WILAYA YA KITANESCO YA KIMBIJI DAR ES SALAAM. Katibu Tawala Wilaya ya Kigamboni Bi. Upendo Mahalu amezindua Ofisi mpya ya Wilaya ya KiTANESCO Kimbiji ikiwa ni mkakati wa ... Almasi Media - Mei 05, 2026
TANZANIA NA KENYA ZASAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO SEKTA YA NISHATI 📌Ni kupitia mauziano ya umeme na upembuzi yakinifu mradi wa Bomba la Gesi Dar-es-Salaam- Mombasa Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi... Almasi Media - Mei 05, 2026
DAR CITY WAPATA MWALIKO BUNGENI, DIDIER DROGBA AWAPA HAMASA KUELEKEA BAL FINALS DODOMA. Timu ya Dar City jana ilipata heshima ya kipekee baada ya kualikwa Bunge la Tanzania kushiriki katika usikilizaji wa bajeti ya Wiza... Almasi Media - Mei 05, 2026
TANZANIA NA ZAMBIA WAKUTANA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA SONGWE Mkutano wa Kamati ya Pamoja ya Biashara (Joint Trade Committee – JTC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Zambia u... Almasi Media - Mei 05, 2026
JOWUTA YASHIRIKI BAJETI WIZARA HABARI, YALILIA MAZINGIRA BORA YA KAZI Mwandishi Wetu, Dodoma. CHAMA cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA) Leo kimehudhuria uwasilishaji wa bajeti ya Wizara... Almasi Media - Mei 05, 2026
WANANCHI WA DODOMA WAPONGEZA JUHUDI ZA SERIKALI MKAKATI WA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA Na Mwandishi Wetu, Dodoma. Wananchi wa Dodoma wamepongeza juhudi za Serikali kupitia mkakati wa kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kup... Almasi Media - Mei 04, 2026
KAMISHNA LUOGA NA MAKAMU BALOZI WA NEW ZEALAND WAJADILI MAENDELEO YA MRADI WA JOTOARDHI DODOMA. Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Innocent Luoga amekutana na Naibu Balozi wa New Zealand nchini, Nicholas Meehan ambapo w... Almasi Media - Mei 04, 2026
MIILI MIWILI YAOKOLEWA IKIELEA JUU YA MAJI, JESHI LA ZIMAMOTO LATOA TAHADHARI Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam. Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Ilala jijini Dar es Salaam limefanikiwa kuopoa miili miwili iliyok... Almasi Media - Mei 04, 2026
ACT WAZALENDO YAIKATAA RIPOTI YA TUME YA CHANDE, YATAKA UCHUNGUZI HURU Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimeitangazia umma maazimio ya kikao cha dharura cha Kamati Kuu kilichofanyika Me... Almasi Media - Mei 04, 2026