BORA KUZUI UHALIFU KABLA HAUJATOKEA KULIKO KUPAMBANa NA UHALIFU Kamishna wa Polisi Jamii CP Alex Sospeter Mkama amewaasa wenyeviti wa serikali za mitaa kuwapa ushirikiano Polisi kata ili kutengeneza muung... Almasi Media - Aprili 01, 2026
SPIKA AAGIZA WAZIRI NA KAMATI YA BUNGE KUJADILI MWENENDO WA MAFUTA NCHINI DODOMA Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Zungu, amemuagiza Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, kukutana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ni... Almasi Media - Aprili 01, 2026
TEEA YAOMBA USHIRIKIANO NA WIZARA YA MADINI KUIMARISHA UTUNZAJI WA MAZINGIRA Mtumba, Dodoma Taasisi ya Wataalamu wa Mazingira Tanzania (TEEA) imeomba kushirikiana kwa karibu na Wizara ya Madini ili kuhakikisha shughu... Almasi Media - Aprili 01, 2026
ZAIDI YA BILIONI 517 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA DAR ES SALAAM KUPITIA DMDP II Dar es Salaam. Zaid ya Bilioni 517 zimeelekezwa kuboresha miundombinu ya barabara Mkoa wa Dar es Salaam kupitia Mradi wa Uendelezaji Jiji ... Almasi Media - Aprili 01, 2026
VITA MASHARIKI YA KATI YAPANDISHA BEI ZA MAFUTA "EWURA YASISITIZA YAPO YA KUTOSHA" Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendel... Almasi Media - Aprili 01, 2026
KITUO CHA UMEME IFAKARA CHACHOCHEA MAENDELEO KILOMBERO Ifakara, Kilombero Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetumia shilingi bilioni 25 kujenga Kituo cha Kupoza Umeme 1x20MVA, 22... Almasi Media - Machi 31, 2026
WATUMISHI WIZARA YA MADINI WAPELEKA TABASAMU KITUO CHA WATOTO HURUMA HOMBOLO Hombolo, Dodoma. Watumishi wa Wizara ya Madini leo Machi 31, 2026, wamepeleka tabasamu kwa jamii yenye uhitaji maalumu kwa kwa watoto yatima... Almasi Media - Machi 31, 2026
TARURA YATEKELEZA UJENZI WA KM 56 ZA BARABARA ZA LAMI ILALA KUPITIA DMDP II Dar es Salaam. Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeanza kutekeleza ujenzi wa barabara zaidi ya Kilomita ... Almasi Media - Machi 31, 2026