MAANDAMANO YA AMANI YA KIISLAMU YASISITIZA UMOJA NA MSHIKAMANO WA JAMII Dar es Salaam Waumini wa Kiislamu kupitia Tanzania Muharram Community wamefanya maandamano ya amani yenye lengo la kuadhimisha kumbukizi ya ... Almasi Media - Juni 26, 2026
‘NAFUU YA MAFUTA KUANZA KUONEKANA JULAI’ NDEJEMBI Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema Watanzania wataanza kushuhudia kushuka kwa bei za mafuta kuanzia mwezi Julai mwaka huu k... Almasi Media - Juni 26, 2026
SERIKALI IMEDHAMIRIA KULETA MAPINDUZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA - NAIBU WAZIRI SALOME Imeelezwa kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka dhamira ya dhati katika kuleta mapinduzi ya matumizi ya Nishati Safi... Almasi Media - Juni 26, 2026
Oasis Village Club Yashirikiana na Bolt Tanzania Kuelimisha Wanafunzi Kuhusu Usafiri Salama na Ubunifu wa Kidijitali Dar es Salaam, 25 Juni 2026 Kampuni ya usafiri wa mtandao ya Bolt Tanzania jana iliwapokea wanafunzi kutoka programu ya Oasis Summer Camp 20... Almasi Media - Juni 26, 2026
ASKOFU MWAMALANGA: KILA MTANZANIA ANAWAJIBU WA KUTUNZA AMANI Na Mwandishi Wetu. Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili, Amani na Haki za Binadamu kwa Jamii ya Madhehebu ya Dini Tanzania, Askofu William Mwamal... Almasi Media - Juni 26, 2026
KATIBU MKUU TUCTA ATOA WITO KWA WAAJIRI KUWAPA UHURU WATUMISHI KUJIUNGA NA VYAMA VYA WAFANYAKAZI Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania ( TUCTA) Cde. Hery Mkunda ametoa wito kwa Waajiri Nchini kuwaruhusu Watumishi ku... Almasi Media - Juni 25, 2026
MHE. SALOME AZINDUA MFUMO WA KUAGIZA GESI YA KUPIKIA KIDIJITALI Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amezindua mfumo wa kidijitali wa kuagiza gesi ya kupikia uitwao Orion Gas, unaomilikiwa na k... Almasi Media - Juni 25, 2026
SERIKALI YAZITAKA TAASISI ZOTE KUJIANDAA KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL NIÑO Na, Mwandishi Wetu, Dodoma. SERIKALI imesema itaendelea kuimarisha mifumo ya usimamizi wa maafa nchini ili kupunguza madhara yanayosababishw... Almasi Media - Juni 25, 2026