KITUO CHA UMEME IFAKARA CHACHOCHEA MAENDELEO KILOMBERO Ifakara, Kilombero Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetumia shilingi bilioni 25 kujenga Kituo cha Kupoza Umeme 1x20MVA, 22... Almasi Media - Machi 31, 2026
WATUMISHI WIZARA YA MADINI WAPELEKA TABASAMU KITUO CHA WATOTO HURUMA HOMBOLO Hombolo, Dodoma. Watumishi wa Wizara ya Madini leo Machi 31, 2026, wamepeleka tabasamu kwa jamii yenye uhitaji maalumu kwa kwa watoto yatima... Almasi Media - Machi 31, 2026
TARURA YATEKELEZA UJENZI WA KM 56 ZA BARABARA ZA LAMI ILALA KUPITIA DMDP II Dar es Salaam. Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeanza kutekeleza ujenzi wa barabara zaidi ya Kilomita ... Almasi Media - Machi 31, 2026
WIZARA YA MADINI YAKUTANA NA UJUMBE WA WAWEKEZAJI KUTOKA CHINA KUJADILI FURSA ZA USHIRIKIANO SEKTA YA MADINI Dodoma Wizara ya Madini imekutana na ujumbe wa wawekezaji kutoka Jamhuri ya Watu wa China unaotoka katika Kampuni ya Kimataifa ya Liaoning F... Almasi Media - Machi 31, 2026
STAMICO, PLANET ONE ZASAINI MKATABA WA KIHISTORIA UCHIMBAJI MADINI YA KINYWE MIRERANI Mirerani, Simanjiro – Manyara Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa, ameshuhudia Utiaji Saini wa Mkataba wa uendelezaji wa leseni za u... Almasi Media - Machi 30, 2026
TPBRC KUANDAA “BOXING MEDIA DAY” KUINUA TASNIA YA NGUMI NCHINI Na Mwandishi Wetu Chama cha Makocha wa Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBRC) kinatarajia kuandaa siku maalum ya Boxing Media Day itakayofanyika ... Almasi Media - Machi 30, 2026
MAKAA YA MAWE KUCHOCHEA MAENDELEO YA VIWANDA NCHINI TANZANIA Dodoma Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema makaa ya mawe yana nafasi ya kimkakati katika kuharakisha mageuzi ya uchumi wa Tanzania ku... Almasi Media - Machi 30, 2026
UKIKAMATWA UMEFICHA MAFUTA: NI KESI YA UHUJUMU UCHUMI Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, Dkt. James Mataragio, ameiagiza Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Huduma... Almasi Media - Machi 29, 2026